• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisini |
KIBONDO DISTRICT COUNCIL
KIBONDO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serilali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Msingi wa Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Division ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Division ya Elimu Awali na Elimu Msingi
      • Division ya Elimu Sekondari
      • Division ya Huduma za Afya Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Division ya Maendeleo ya Jamii
      • Division ya Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Division ya Kilimo Mifugo na Uvuvi
      • Division ya Viwanda Biashara na Uwekezaji
      • Division ya Mipango na Uratibu
      • Division ya Miundombinu na Maendeleo Vijijini na Mjini
    • Vitengo
      • Kitengo cha Usimamizi wa Ununuzi
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha Usafi na Usimamizi wa Taka
      • Kitengo cha Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
      • Afya, Elimu na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Mifugo

HUDUMA ZINAZOTOLEWA NA IDARA YA MIFUGO

KITENGO CHA MIFUGO.

HUDUMA ZA UGANI

Kutoa elimu kwa wafugaji juu ya kanuni bora za ufugaji ili kuinua kiwango cha uzalishaji wa mazao mbalimbali ya mifugo (maziwa, nyama, mayai na ngozi)

UKAGUZI WA NYAMA.

Kuhakikisha afya ya jamii inalindwa kupitia ukaguzi wa nyama za mifugo yote inayochinjwa kwa ajili ya matumizi ya binadamu.

AFYA YA MIFUGO

Mifugo yetu kama mojawapo ya viumbe hai, idara inahakikisha afya zao zinaangaliwa kupitia uzuiaji ueneaji wa magonjwa ya kuambukiza kwa kusimamia na kutoa chanjo dhidi ya magonjwa mbalimbali ya mifugo, kuudhibiti wadudu waenezao magonjwa na kutoa tiba za magonjwa mbalimbali ya mifugo. Hii ni katika kuhakikisha mifugo inakuwa na afya nzuri ili kuinua kiwango cha uzalishaji.

HUDUMA ZA MIFUGO

Kutoa huduma mbalimbali za mifugo kama vile; kuhasi, kukata pembe, kukata mikia, kukata kwato,kukata midomo, kukata meno, kupima mimba, kuhamilisha, kuchoma sindano ya kuchochea joto na madini ya chuma; kumsaidia mfugo kuzaa na kutoa kondo la nyuma.

UPATIKANAJI WA MALISHO NA MAJI

Kusimamia utengaji wa maeneo ya kutosha kwa ajili ya malisho na maji.

Kutatua migogoro inayotokana na malisho.

UTAMBUZI, USAJILI NA UFUATILIAJI WA ALAMA ZA MIFUGO

Kutambua mifugo yote ilinayofugwa katika Wilaya, kuisajili na kuipiga chapa kwa lengo la kusimamia uhamishaji wa mifugo kutoka eneo moja kwenda eneo jingine, kudhibiti ueneaji wa magonjwa ya mifugo na kufuatilia mifugo inayopotea au kuibiwa.

UKUSANYAJI WA MADUHULI YA SERIKALI.

Ukusanyaji wa maduhuli ya serikali kuu kupitia utoaji wa vibali vya kusafirisha mifugo na mazao yake.

Ukusanyaji wa maduhuli ya Halmashauri kupitia utoaji wa vibali vya biashara za mifugo na mazao yake.

Matangazo

  • KUITWA KWENYE MAFUNZO ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA July 14, 2024
  • TANGAZO LA KUSITISHA WITO WA USAILI April 27, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI May 05, 2023
  • BADILIKO LA TANGAZO LA KAZI May 05, 2023
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • WATENDAJI WA HALMASHAURI WAPEWA AGIZO LA KUHAMASISHA LISHE SHULENI

    May 16, 2025
  • MADIWANI WA HALMASHAURI YA KIBONDO WAPONGEZWA JUU YA UTENDAJI KAZI WAO

    May 07, 2025
  • WAFANYAKAZI WAHIMIZWA KUSHIRIKI UCHAGUZI MKUU 2025

    May 01, 2025
  • WANANCHI WA VIJIJI VYA RUGUNGA NA KITAHANA KATIKA KATA YA KITAHANA WATOA KERO ZAO KWA MKUU WA WILAYA KIBONDO

    March 21, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Constructions of Latrines
  • Investment Reports
  • Construction of Four Stall at Nanenane Bus Stand
  • Construction of Health Staff House at Kifura
  • Rehabilitation of Canteen at CotC Kibondo
  • Construction of Administration Building
  • OPRAS FOMU
  • Sick-Sheet Forms
  • Upimaji wa Viwanja Eneo la Kijiji cha Nengo

Zinazohusiana

  • UTUMISHI
  • PO-RALG
  • NECTA
  • PUBLIC PROCUREMENT REGULATORY AUTHORITY
  • UTUMISHI PORTAL
  • KIGOMA REGION
  • WANANCHI PORTAL
  • INVESTMENT CENTRE
  • AJIRA
  • Ministry of Industries

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Wasiliana nasi

    KIBONDO DISTRICT COUNCIL, KIBONDO TOWNSHIP IHULILO STREET

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 43, KIBONDO

    Simu ya Mezani: +255 028 282 0084

    Simu: +255 028 282 0084

    Barua pepe: ded@kibondodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma
    • Kanusho

Hakimiliki ©2017 Kibondodc .Haki zote zimehifadhiwa.