• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisini |
KIBONDO DISTRICT COUNCIL
KIBONDO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serilali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Msingi wa Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Maliasil Ardhi na Mistu
      • Kilimo Ushirika na Umwagiriaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Idara ya Ujenzi
    • Vitengo
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo cha Teknolojia na Habari
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
      • Afya, Elimu na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

BARAZA LA MADIWANI LA HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO LAPITISHA BAJETI YA SHILINGI BILLIONI 31.03 KWA MWAKA WA FEDHA 2021/2022 .

Posted on: January 28th, 2021

Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Kibondo katika kikao chake kilichofanyanyika leo tarehe 28.01.2021 katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri (IOM) Kibondo, limejadili na kupitisha Bajeti ya Halmashauri yenye jumla ya TZS.31,034,281,598/- . Katika fedha hizo zinazotarajiwa kukusanywa na kutumika, kiasi cha TZS.16,412,624,000/- ni kwa ajili ya mishahara, TZS.11,375,989,318/- ni kwa ajili ya Miradi ya Maendeleo na TZS.3,245,668,279/- ni kwa ajili ya matumizi ya kawaida.

Mara baada ya kupitisha Bajeti hiyo, Mkuu wa Wilaya ya Kibondo Mhe. Luis Bura alizungumza na Madiwani, Wakuu wa Idara na Vitengo, Watumishi wa Serikali na Wananchi waliohudhuria kikao hicho.

Katika mazungumzo hayo Mkuu wa Wilaya aliwapongeza waheshimiwa Madiwani kwa kuchaguliwa nakuanza kutekeleza majukumu yao. Alisisitiza juu ya kuendelea kudumisha hali ya ulinzi na usalama katika maeneo yao.

Vilevile Mkuu wa Wilaya aliwaomba madiwani kutoa ushirikiano katika kusimamia elimu, kilimo, ukusanyaji wa mapato na kutatua kero za wananchi. Katika kilimo alisisitiza juu ya uanzishaji mashamba ya michikichi, maparachichi na kutatua mgogoro katika shamba la miwa ili mwekezaji atakapopatikana pasiwe na usumbufu juu ya uanzishaji wake.

Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA JUU YA KIKAO CHA BARAZA LA MADIWANI TAREHE 28.01.2021 January 20, 2021
  • TANGAZO LA MIKOPO KWA VIKUNDI January 11, 2018
  • TANGAZO KWA WANANCHI WA WILAYA YA KIBONDO LA KUWEPO KWA BARAZA LA MADIWANI TAREHE 01.11.2017 October 28, 2017
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • WAKAZI WA WILAYA YA KIBONDO WASHIRIKI MAZISHI YA ALIYEKUWA MBUNGE WA JIMBO LA MUHAMBWE

    February 15, 2021
  • BARAZA LA MADIWANI LA HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO LAPITISHA BAJETI YA SHILINGI BILLIONI 31.03 KWA MWAKA WA FEDHA 2021/2022 .

    January 28, 2021
  • MKURUGENZI MTENDAJI AANZISHA KILIMO CHA ALIZETI KIBONDO

    January 25, 2021
  • UJENZI WA KITUO CHA KUHIFADHI NA KUUZA MAZAO KAGEZI YAANZA KUJENGWA

    January 22, 2021
  • Tazama zote

Video

Mkurugenzi Mtendaji na Mbunge wakitoa maelekezo kwa Wananchi.
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Constructions of Latrines
  • Investment Reports
  • Construction of Four Stall at Nanenane Bus Stand
  • Construction of Health Staff House at Kifura
  • Rehabilitation of Canteen at CotC Kibondo
  • Construction of Administration Building
  • OPRAS FOMU
  • Sick-Sheet Forms
  • Upimaji wa Viwanja Eneo la Kijiji cha Nengo

Zinazohusiana

  • UTUMISHI
  • PO-RALG
  • NECTA
  • PUBLIC PROCUREMENT REGULATORY AUTHORITY
  • UTUMISHI PORTAL
  • KIGOMA REGION
  • WANANCHI PORTAL
  • INVESTMENT CENTRE
  • AJIRA
  • Ministry of Industries

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Wasiliana nasi

    KIBONDO DISTRICT COUNCIL, KIBONDO TOWNSHIP IHULILO STREET

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 43, KIBONDO

    Simu ya Mezani: +255 028 282 0084

    Simu: +255 028 282 0084

    Barua pepe: ded@kibondodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma
    • Kanusho

Hakimiliki ©2017 Kibondodc .Haki zote zimehifadhiwa.